Jeshi linaendesha operesheni katika majimbo matatu ambako sheria ya hali ya hatari ilitangazwa wiki jana ili kuwezesha jeshi kupambana vilivyo na wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram.
Kundi hilo lilisema kuwa halitawaachilia wanawake na watoto waliowateka nyara ikiwa serikali haitafanya mazungumzo nao
...............................................................................................................................................










