Meya huyo ni mpinzani wa rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni.
Mtu mmoja anaripotiwa kufariki na wengine kadhaa kukamatwa wakati wa ghasia hizo.
Hata hivyo polisi wamekanusha madai ya kumpiga meya huyo , ambaye pia ni mkoasji mkubwa wa rais Museveni.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,










